Started by Clouds FM. Last reply by nayeem islam on Sunday. 2 Replies 1 Like
Started by Clouds FM. Last reply by nayeem islam on Sunday. 9 Replies 2 Likes
Funguka kuhusu hapoContinue
Started by Clouds FM. Last reply by nayeem islam on Sunday. 10 Replies 5 Likes
Started by Clouds FM. Last reply by sulicia bentley Mar 19. 4 Replies 1 Like
Malizia Hapo???Continue
Posted by Clouds FM on May 22, 2013 at 7:23pm 0 Comments 0 Likes
Mbunge wa Peramiho JENISTA MUHAGAMA amehoji mpango wa Serikali katika kuanzisha viwanda vya mbolea nchini ili kuwawezesha wananchi wanaotegemea mbolea katika kilimo cha mazao mbalimbali kupata huduma hiyo.
Akiuliza swali la…
Posted by Clouds FM on May 22, 2013 at 7:16pm 0 Comments 0 Likes
WATU wawili wamefariki dunia katika matukio tofauti ya kujinyonga akiwemo daktari wa meno katika hospitali ya Sabasaba mjini Morogoro kwa kujinyonga kwa kutumia taulo na foronya kwenye dirisha katika lodge na Pub iliyopo Kihonda Mjini hapa.…
Posted by Clouds FM on May 22, 2013 at 7:10pm 0 Comments 0 Likes
Baadhi ya wabunge wameitaka Serikali kuharakisha mpango wa upelekaji wa umeme vijijini ili kuharakisha upatikanaji wa maendeleo katika maeneo hayo.
Wakichangia hoja ya bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka wa…
Posted by Clouds FM on May 22, 2013 at 7:05pm 0 Comments 0 Likes
Posted by Clouds FM on May 22, 2013 at 7:00pm 0 Comments 0 Likes
Kwa mara ya kwanza Wizara ya Nishati na Madini imetenga asilimia tisini ya bajeti yake kwa mwaka wa Fedha 2013/2014 kwaajili ya shughuli za maendeleo ikiwemo kutekeleza miradi ya umeme na kuongeza usimamizi katika sekta za mafuta na gesi huku…
Posted by Clouds FM on May 22, 2013 at 6:28pm 0 Comments 0 Likes
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na naibu wake wametajwa katika ripoti inayowahusisha na ghasia za baada ya uchaguzi katika ripoti iliyosubiriwa kwa muda mrefu kuhusu ukiukwaji wa haki za bindamau nchini humo.Ripoti hiyo hata hivyo haikutoa mapendekezo ya hatua…
Posted by Clouds FM on May 22, 2013 at 6:00pm 0 Comments 0 Likes
Mabomu ya machozi yalirindima na huduma zote za kijamii zilifungwa pamoja na usafiri, masoko, maduka na bar zote zilifungwa, daladala, Taxi na Bodaboda hazikufanya kazi.Mapambano makali kati ya Jeshi la polisi na wananchi wenye hasira wanaopinga vikali kuendelea…
Posted by Clouds FM on May 22, 2013 at 5:44pm 0 Comments 0 Likes
© 2013 Created by CLOUDS FM - 88.5.
Powered by

