Members

Forum

BONGO FLAVA NA HIP HOP KUNA TOFAUTI?

Started by Clouds FM. Last reply by nayeem islam on Sunday. 9 Replies

Funguka kuhusu hapoContinue

JE NI KWELI?

Started by Clouds FM. Last reply by nayeem islam on Sunday. 10 Replies

.Continue

UJINGA NIII.....!!!

Started by Clouds FM. Last reply by sulicia bentley Mar 19. 4 Replies

Malizia Hapo???Continue

Latest Activity

Profile Iconnikkwapili via Twitter
RT @Chai_Racka: Nimemsikia @nikkwapili akizungumzia chanzo cha machafuko yanatokea in #aplifaya ya @cloudsfm <<>> #Nikk ni mchambuz mzur wa siasa
Twitter1 minute ago · Reply · Retweet
How Do You Program Dish Network updated their profile
4 minutes ago
Profile Iconroquefield via Twitter
RT @DAUDIWAKOTA: NJE YA BOX YA NICK WA PILI YA KWANZA HEWANI #AMPLIFAYA @Millardayo @cloudsfm
Twitter5 minutes ago · Reply · Retweet
Profile IconChai_Racka via Twitter
Nimemsikia @nikkwapili akizungumzia chanzo cha machafuko yanatokea in #aplifaya ya @cloudsfm <<>> #Nikk ni mchambuz mzur wa siasa
Twitter8 minutes ago · Reply · Retweet

Blog Posts

MBUNGE WA PERAMIHO JENISTA MUHAGAMA AMEHOJI MPANGO WA SERIKALI KUANZISHA VIWANDA VYA MBOLEA NCHINI

Posted by Clouds FM on May 22, 2013 at 7:23pm 0 Comments

Mbunge wa Peramiho JENISTA MUHAGAMA amehoji mpango wa Serikali katika kuanzisha viwanda vya mbolea nchini ili kuwawezesha wananchi wanaotegemea mbolea katika kilimo cha mazao mbalimbali kupata huduma hiyo.

Akiuliza swali la…

Continue

WATU WAWILI WAMEFARIKI DUNIA KATIKA MATUKIO TOFAUTI TOFAUTI

Posted by Clouds FM on May 22, 2013 at 7:16pm 0 Comments

WATU wawili wamefariki dunia katika matukio tofauti ya kujinyonga akiwemo daktari wa meno katika hospitali ya Sabasaba mjini Morogoro kwa kujinyonga kwa kutumia taulo na foronya kwenye dirisha katika lodge na Pub iliyopo Kihonda Mjini hapa.…

Continue

BAADHI YA WABUNGE WAMEITAKA SERIKALI KUHARIKISHA MPANGO WA UPELEKAJI WA UMEME VIJIJINI

Posted by Clouds FM on May 22, 2013 at 7:10pm 0 Comments

Baadhi ya wabunge wameitaka Serikali kuharakisha mpango wa upelekaji wa umeme vijijini ili kuharakisha upatikanaji wa maendeleo katika maeneo hayo.

Wakichangia hoja ya bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka wa…

Continue

KWA MARA KWANZA WIZARA YA NISHATI NA MADINI IMETENGA 90% YA BAJETI YAKE

Posted by Clouds FM on May 22, 2013 at 7:00pm 0 Comments

Kwa mara ya kwanza Wizara ya Nishati na Madini imetenga asilimia tisini ya bajeti yake kwa mwaka wa Fedha 2013/2014 kwaajili ya shughuli za maendeleo ikiwemo kutekeleza miradi ya umeme na kuongeza usimamizi katika sekta za mafuta na gesi huku…

Continue

TUME YAPENDEKEZA WAKUU WASHTAKIWE

Posted by Clouds FM on May 22, 2013 at 6:28pm 0 Comments

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na naibu wake wametajwa katika ripoti inayowahusisha na ghasia za baada ya uchaguzi katika ripoti iliyosubiriwa kwa muda mrefu kuhusu ukiukwaji wa haki za bindamau nchini humo.Ripoti hiyo hata hivyo haikutoa mapendekezo ya hatua…

Continue

MABOMU NA RISASI VYATAWALA HUDUMA ZA KIJAMII ZASITISHWA MTWARA

Posted by Clouds FM on May 22, 2013 at 6:00pm 0 Comments

Mabomu ya machozi yalirindima na huduma zote za kijamii zilifungwa pamoja na usafiri, masoko, maduka na bar zote zilifungwa, daladala, Taxi na Bodaboda hazikufanya kazi.Mapambano makali kati ya Jeshi la polisi na wananchi wenye hasira wanaopinga vikali kuendelea…

Continue

Events

 
 
 

© 2013   Created by CLOUDS FM - 88.5.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

Online

Live Video